UZUIAJI MAGONJWA YA KUKU

https://www.animalscience.care/                                                                                            UZUIAJI WA MAGONJWA YA KUKU

Ilikuweza kudhibiti magonjwa ya kuku uangalifu mkubwa huhitajika katika kuchagua dawa gan itumike,namna gan itumike,wapi utumike kiasi gan utumike na wakati gani
Mambo muhimu

  •   Zuia watu wasiohusika kuku na ndege kuingia au kukaribia mabanda yako
  •   Hakikisha banda liko katika mazingira safi yasiyofurika au kutuamisha maji
  •   Ondoa mbolea mara kwa mara ikiwa ndani ya mifuko na tupa mbali na eneo la mabanda
  •   Wafanyakazi wote wabadilishe nguo na wawe wasafi,wasafishe mikono na miguu yao i.e dawa aina ya virutec
  •   Dawa ya virutec iwekwe mlangon na kubadirishwa kila wiki
  •   Mabanda yapumzishwe wiki mbili kabla ya kuweka kuku wapya
  •   Kabla ya kuweka kuku wapya.safisha mabanda kwa kutumia dawa aina ya virutec
..........................................................................................................................................
Previous Post Next Post