MAGONJWA NA JINSI YA KUSAFISHA BANDA

https://www.animalscience.care/
JINSI YA KUSAFISHA NA KUPIGA
DAWA MABANDA KABLA YA KUINGIZA KUKU
·         Ondoa mbolea na vitu vyote vilivyotumika(mifuko ya chakula,makopo n.k) na kuitupa mbali kabisa na mabanda
·         Anza kusafisha dari  harafu kuta na kumalizia na sakafu
·         Lowesha vyombo vya kunyweshea maji na  kulishia chakula na vifaa vyote vinavyotumika ndani ya mabanda kwenye dawa aina ya virutec kwa muda wa nusu saa harafu suuza na maji ya kawaida kabla ya kupiga dawa ya kuulia wadudu warukao na watambaao ndani nan je ya banda          
           Kumbuka; Kuweka virutec kwenye footbath mlangoni kabla ya kuleta vifaranga
Magonjwa yamegawanyika katika makundi mawili
 1.Magonjwa ya bacteria
  •   Fowl Tyfoid
  •  Paratyphoid
  •   Colibacillosis
  •   Infectious coryza(Mafua)
  •   Coccidiosis
  •   Mycoplasmosis
              2.Magonjwa ya virusi
 Newcastle (Mdondo)
  Gumboro
Ugonjwa
Dalili
Chanjo/Tiba
Newcastle Disease(Mdondo)
Vifo vingi vya ghafla
Kuharisha
Hutokea wakati wowote baada ya wiki mbili
Chanjo siku 7 rudia baada ya siku21 na baada ya wiki 12
Gumboro
Vifo vya ghafla
Kukunja mbawa chini kujikusanya pamoja
Kuharisha nyeupe
Ugonjwa hutokea kuanzia wiki ya 2 mpaka 18
Canjo siku ya 10 mpaka 14
Rudia siku ya 28 na 42 kwa kuku wa mayai
Avian Leukosis Complex
Marecks humpata kuku kuanzia umri wa wiki tatu lakin mara nyingi ni wiki ya 12-24
Dalili ni;kupooza mabawa,miguu kuvimba na kufa na kuvimba miguu maini wengu na figo
Tiba ni Fruquin 1ml/2lita kwa siku tatu
Nutrivet 5g/20lita

TYphoid
Vifo vya kuku mmoja mmoja
Tiba ni Fruquin 0.5-1ml/lita kwa siku tatu
Nutrivet 5g/20lita



Previous Post Next Post