Sasa


Uzuiaji magonjwa ya kuku nini kifanyike

https://www.animalscience.care/ UZUAJI WA MAGONJWA YA KUKU

Ilikuweza kudhibiti magonjwa ya kuku uangalifu mkubwa huhitajika katika kuchagua dawa gan itumike,namna gan itumike,wapi utumike kiasi gan utumike na wakati gani
Mambo muhimu

  •  Zuia watu wasiohusika kuku na ndege kuingia au kukaribia mabanda yako
  •  Hakikisha banda liko katika mazingira safi yasiyofurika au kutuamisha maji
  •  Ondoa mbolea mara kwa mara ikiwa ndani ya mifuko na tupa mbali na eneo la mabanda
  • Wafanyakazi wote wabadilishe nguo na wawe wasafi,wasafishe mikono na miguu yao i.e dawa aina ya virutec
  •  Dawa ya virutec iwekwe mlangon na kubadirishwa kila wiki
  •  Mabanda yapumzishwe wiki mbili kabla ya kuweka kuku wapya
  •  Kabla ya kuweka kuku wapya.safisha mabanda kwa kutumia dawa aina ya virutec
Previous Post Next Post