Nini ufanye kutengeneza chakula cha kuku mwenyewe



Image result for ufugaji kuku wa kienyeji

Mfugaji ni vizuri kujua kutengeneza chakula mwenyewe ili kuepuka gharama
Pia chakula unachotengeneza mwenyewe unakuwa na uhakika wa virutubisho vyote ulivyo weka,
Fanya haya kutengeneza chakula cha kuku

JINSI KUANDAA CHAKULA CHA KUKU KUANZIA WIKI LA 1- HADI WIKI LA 8.
Mahitaji.
1.    Pumba 60kg
2.    Mahind ya kuparaza 10kg
3.    Mashudu alizeti 10kg
4.    Dagaaa 15kg
5.    unga wa mifupa 5kg
6.    Chumvi ½
7.     premix ¼
Mchanganyiko huu kwa jina linguine unaitwa Chickstarter.

CHAKULA CHA KUKU, KUANZIA WIKI LA NANE NA KUENDELEA.
Mahitaji
1. Pumba ya mahindi yenye chenga- kg 38
2. Mashudu ya alizeti- kg 7.5
3. Mabaki ya dagaa - kg 1.5
4. Chokaa ya kuku - kg 0. 5
5. Unga wa mifupa - kg 0.5
6. Lusina - kg 2
7. Chumvi - kg 0.25
Mchanganyiko huu kwa jina linguine unaitwa Broiler finisher.

Previous Post Next Post