Ugonjwa ni nini? Ugonjwa ni mabadiliko kutoka katika afya ya
kawaida ya mnyama/kuku. Hali hii hutokea pale
vimelea au vijidudu vinapoingia mwili wa mnyama, kwa kula
vyakula vyenye sumu, au inapotokea kuna uhaba walishe au madini mwilini.
|
Kuku mwenye afya nzuri
|
Kuku asiye na afya nzuri (mgonjwa)
|
|
Macho
na sura angavu
Hupenda
kula na kunywa maji
Pua
zilizo safi, upanga na undu mwekundu, manyoya
laini
na yaliyopangika vizuri
Hupumua
kwa utulivu
Sehemu
ya kutolea haja huwa kavu
Kinyesi
kikavu, cheupe na kisicho na rangi
Hutaga
mayai kawaida
|
Huonekana
mchovu na dhaifu
Hula
na kunywa kidogo au zaidi ya kawaida
Hutoa
kamasi puani, ute na matongotongo;
manyoya
yaliyovurugika
Hupumua
kwa shida na kwa sauti
Sehemu
ya kutolea haja inakuwa na unyevunyevu na
kinyesi
kuganda
Huharisha,
kinyesi huwa na damu au minyoo
Hutaga
mayai machache au husimama kutaga kabisa
Huwa
na tabia ya kujitenga na wenzake katika kundi
|
Tags:
MBINU ZA UFUGAJI
