Mbuzi ni wanyama ambao wanaweza kufugwa
kwa gharama nafuu pia ni wavumilivu wa ukame na maradhi tofauti na ngo’mbe kwa
kua wana umbile dogo wanaweza kufugwa katika eneo dogo na nguvu kazi ndogo na
hata kwa wenye kipato kidogo.
Mbuzi wanaweza kufugwa kwa ajili ya
nyama/maziwa/ngozi/sufi na mazaomengine kama mbolea kwa matumizi ya familia na
kuongeza kipato.
NAMNA BORA YAUFUGAJI:-
Wafugwe kwenye banda bora
Chagua kulingana na sifa zao na lengo la ufugaji(uzalishaji)nyama/maziwa/sufi.
Walishwe chakula sahihi kulingana na umri
Kuzingtia ushauri wa mtaalamu wa mifugo hasahasa namna ya udhibiti wa magonjwa.
Kuweka kumbukumbu za uzalishaji.
Kuzalisha nyama/maziwa/sufi bora unaokidhi mahitaji ya soko.
Wafugwe kwenye banda bora
Chagua kulingana na sifa zao na lengo la ufugaji(uzalishaji)nyama/maziwa/sufi.
Walishwe chakula sahihi kulingana na umri
Kuzingtia ushauri wa mtaalamu wa mifugo hasahasa namna ya udhibiti wa magonjwa.
Kuweka kumbukumbu za uzalishaji.
Kuzalisha nyama/maziwa/sufi bora unaokidhi mahitaji ya soko.
ZIZI/BANDA LA MBUZI
1.Banda bora linatakiwa liwe ni lenye kuweza
kuwakinga mbuzi au kondoo na mashambulizi ya wanyama wakali(hatari) na wezi.
2.Liwepo sehemu ambayo maji hayawezi kutuama.
3.Mabanda yatenganishwe kulingana na umri.
4.Liwe na ukubwa ambao linaweza kufanyiwa
usafi.
UFUGAJI WA NDANI
ZINGATIA HAYA
Banda imara lenye uwezo wa kuwahifadhi
kiafya,upepo/mvua n.k
Lenye hewa ya kutosha
Liwe na sakafu ya kichanja na sehemu ya
kuwekea chakula na maji.
Liwe na vyumba tofauti kwa kuweka
vijitoto/wanao ugua/wanao kua.
UJENZI WA BANDA LA
MBUZI
Banda lijengwe kwa kutumia vifaa vilivyopo eneo husika na kwa kuzingatia uwezo wa mfugaji.
Kuta ziwe imara na zinazo ruhusu mwanga na hewa ya kutosha.
Mlango uwe na ukubwa wa 60X150 sentimeta.
Sakafu iwe ya udongo/zege ya kichanja unaweza kutumia mabanzi/mianzi na iruhusu kinyesi na mikojo kudondoka chini
Chumba cha majike na vitoto kiwe na sentimeta 1.25 kati ya fito na fito au papi na papi,chumba cha mbuzi/kondoo wakubwa kiwe na sentimeta 1.9kati ya mbao na mbao.
Banda lijengwe kwa kutumia vifaa vilivyopo eneo husika na kwa kuzingatia uwezo wa mfugaji.
Kuta ziwe imara na zinazo ruhusu mwanga na hewa ya kutosha.
Mlango uwe na ukubwa wa 60X150 sentimeta.
Sakafu iwe ya udongo/zege ya kichanja unaweza kutumia mabanzi/mianzi na iruhusu kinyesi na mikojo kudondoka chini
Chumba cha majike na vitoto kiwe na sentimeta 1.25 kati ya fito na fito au papi na papi,chumba cha mbuzi/kondoo wakubwa kiwe na sentimeta 1.9kati ya mbao na mbao.
UCHAGUZI WA MBUZI
WA KUFUGA:-
Lengo ni kuboresha uzalishaji na kupata kizazi bora kuna aina nyingi za mbuzi wa kufugwa kulingana na mazingira na mahitaji ya mfugaji.Uchaguzi unaweza kufanyika kuangalia umbile,uzalishaji na kumbukumbu za wazazi kama vile umbo kubwa,ukuaji wa haraka uwezo wa kutunza vitoto na kutoa maziwa mengi
Lengo ni kuboresha uzalishaji na kupata kizazi bora kuna aina nyingi za mbuzi wa kufugwa kulingana na mazingira na mahitaji ya mfugaji.Uchaguzi unaweza kufanyika kuangalia umbile,uzalishaji na kumbukumbu za wazazi kama vile umbo kubwa,ukuaji wa haraka uwezo wa kutunza vitoto na kutoa maziwa mengi
SIFA ZA ZIADA:-
Miguu ya nyuma iliyo nyooka na yenye nafasi kwa ajili ya kiwele,kiwele kiwe kikubwa na chuchu ndefu zilizo kaa vizuri.
Miguu ya nyuma iliyo nyooka na yenye nafasi kwa ajili ya kiwele,kiwele kiwe kikubwa na chuchu ndefu zilizo kaa vizuri.
SIFA ZA DUME:-
Miguu iliyo nyooka na yenye nguvu
Mwenye kokwa mbili zilizo kaa vizuri a
kunyooka
Mwenye uwezo na nguvu za kupanda
Asiwe na ulemavu
UTUNZAJI WA
VITOTO:-
Hakikisha kitoto kinapata maziwa ya mwanzo(dang’a)siku za kwanza-3.
Kama kinanyweshwa kipewe lita 0.7-0.9 kwa siku maziwa haya ni bora kwa kuwa yana viinilishe na kinga dhidi ya magonjwa
Kama mama hatoi maziwa au amekufa mbuzi mwingine anae nyonyesha anaweza kusaidia kukinyonyesha.
Kitoto kinyonye kwa wiki12-16 baada ya wiki2 kuzaliwa pamoja na maziwa apewe chakula kingine kama nyasi ili akuze
tumbo lake pia apewe maji ya kutosha.
Aachishwe kunyonya akifikisha miezi 3
Vipewe chanjo ya magonjwa kulingana na ushauri wa mtaalam
Hakikisha kitoto kinapata maziwa ya mwanzo(dang’a)siku za kwanza-3.
Kama kinanyweshwa kipewe lita 0.7-0.9 kwa siku maziwa haya ni bora kwa kuwa yana viinilishe na kinga dhidi ya magonjwa
Kama mama hatoi maziwa au amekufa mbuzi mwingine anae nyonyesha anaweza kusaidia kukinyonyesha.
Kitoto kinyonye kwa wiki12-16 baada ya wiki2 kuzaliwa pamoja na maziwa apewe chakula kingine kama nyasi ili akuze
tumbo lake pia apewe maji ya kutosha.
Aachishwe kunyonya akifikisha miezi 3
Vipewe chanjo ya magonjwa kulingana na ushauri wa mtaalam
MATUNZO MENGINE:-
Mbuzi awekewe alama ili iwe rahisi kwa mfugaji kutunza kumbukumbu.
Mbuzi awekewe alama ili iwe rahisi kwa mfugaji kutunza kumbukumbu.
KUONDOA VISHINA VYA PEMBE:-
Aondolewe vishina
kati ya siku 3-14 na mtaalam wa mifugo
KUHASI:-Vitoto ambavyo havitatumika kuendeleza kizazi vihasiwe na mtaalam wa mifugo
KUHASI:-Vitoto ambavyo havitatumika kuendeleza kizazi vihasiwe na mtaalam wa mifugo
UTUNZAJI WA MBUZI
WA MIEZI4-8:-
Ili mbuzi aweze
kukua na kupevuka mapema zingatia yafuatayo:-
Kumpatia chakula cha ziada kwa miezi 2 mfululizo kiasi cha kilo0.2-0.7 kwa siku kuanzia anapo achishwa kunyonyesha.
Kumpatia dawa za kuzuia minyoo kama utakavyoshauriwa na mtaalam wa mifugo na aogeshwe mara kwa mara ili kuzuia magonjwa.
Kukata kwato zikikomaa.
Kumpatia chakula cha ziada kwa miezi 2 mfululizo kiasi cha kilo0.2-0.7 kwa siku kuanzia anapo achishwa kunyonyesha.
Kumpatia dawa za kuzuia minyoo kama utakavyoshauriwa na mtaalam wa mifugo na aogeshwe mara kwa mara ili kuzuia magonjwa.
Kukata kwato zikikomaa.
UMRI WA KUPANDISHA:-
Wakitunzwa vizuri
wanaweza kupandishwa
Kisasa umri wa
miezi 8-12
Wa asili
miezi18-24 kuzingatia afya yake na uzito wastani kilo 12.
DALILI ZA JOTO:-
v Hutingisha
mkia
v Hutoa
ute mweupe ukeni
v Hufuata
dume
v Hamu
ya kula hupungua
v Hukojoa
mara kwa mara
v Uke
huvimba na huwa mwekundu kukiko kawaida
v Huangaika
mara kwa mara na kupiga kelele
v Kwa
mbuzi anayekamuliwa hupunguza kiwango cha maziwa.
v Mbuzi
mwenye dalili hizi apelekwe kwa dume na uchunguze tena dalili za joto baada ya siku 19-21
v Msimu
mzuri wa kuzaa ni baada ya mvua.
UTUNZAJI WA
MBUZI/KONDOO MWENYE MIMBA:-
1. Mbuzi
hubeba mimba kwa muda wa miezi 5
2. Apewe
chakula cha ziada 0.2-0.7.
3. Apewe
nyasi,miti malishi na mikunde mchanganyiko kilo 1.8-2.5 kwa siku
DALILI ZA KUKARIBIA KUZAA:-
UTUNZAJI WA MBUZI ANAYE
NYONYESHA:-
Huhitaji chakula zaidi kwa kuzalisha maziwa kama vile nyasi jamii ya mikunde na majani ya miti malisho kg 1.8-2.5 kwa siku ni muhimu apewe nyongeza ya 0.3-0.8 kwa kila lita inayoongezeka na maji safi na salama wakati wote
Huhitaji chakula zaidi kwa kuzalisha maziwa kama vile nyasi jamii ya mikunde na majani ya miti malisho kg 1.8-2.5 kwa siku ni muhimu apewe nyongeza ya 0.3-0.8 kwa kila lita inayoongezeka na maji safi na salama wakati wote
UKAMUAJI WA MAZIWA ZINGATIA HAYA:-
Sehemu ya
kukamulia iwe safi na tulivu.
Awe na afya nzuri kiwele kioshwe na maji safi ya uvuguvugu.
Mkamuaji asibadilishwe badilishwe,awe msafi mwenye kucha fupi na asiwe na magonjwa ya kuambukiza.
Vyombo vya kukamulia viwe safi.
Maziwa ya mwanzo yakamuliwe kuchunguza kwenye chombo malum(strip cup) kama yana ugonjwa wa kiwele.
Awe na afya nzuri kiwele kioshwe na maji safi ya uvuguvugu.
Mkamuaji asibadilishwe badilishwe,awe msafi mwenye kucha fupi na asiwe na magonjwa ya kuambukiza.
Vyombo vya kukamulia viwe safi.
Maziwa ya mwanzo yakamuliwe kuchunguza kwenye chombo malum(strip cup) kama yana ugonjwa wa kiwele.
UTUNZAJI WA DUME BORA LA MBEGU:-
Dume la mbegu linahitaji matunzo mazuri ili liweze kuzalisha.
Dume bora huanza kupanda likiwa umri miezi 8-10 uwiano wa dume na jike ni dume moja kwa jike 40-50.
Malisho ya kutosha na chakula cha ziada kisipungue kilo 0.2-0.7 kila siku na maji ya kutosha.
Malisho ya miti yenye lishe,jamii ya mikunde na nyasi na mabaki ya mazao pia kilo 0.45-0.9 za chakula cha ziada kulingana na uzito wake na wingi wa majike anayopanda wiki 2 kabla
Dume la mbegu linahitaji matunzo mazuri ili liweze kuzalisha.
Dume bora huanza kupanda likiwa umri miezi 8-10 uwiano wa dume na jike ni dume moja kwa jike 40-50.
Malisho ya kutosha na chakula cha ziada kisipungue kilo 0.2-0.7 kila siku na maji ya kutosha.
Malisho ya miti yenye lishe,jamii ya mikunde na nyasi na mabaki ya mazao pia kilo 0.45-0.9 za chakula cha ziada kulingana na uzito wake na wingi wa majike anayopanda wiki 2 kabla
Mfugo unapoonyesha
dalili hizi na nyingine zisizo za kawaida muone Afisa mifugo aliyopo jirani
akusaidie;
·
Kupumua kwa shida
·
Homa kali,
·
Kukohoa
·
Kutiririsha mafua
·
Usambaaji wa haraka na vifo vingi kwa mbuzi wa
umri wowote na jinsia zote pamoja
·
Kutupa mimba kwa mbuzi wenye mimba
·
Kula kwa shida
·
Manyoya kunyonyoka
......................................................................................................................................................................
......................................................................................................................................................................
Tags:
MBUZI