Sasa


SABABU ZA KUKU KUDONOANA AU KULA MAYAI

Kuku kodonoana
  • Lishe mbaya
  • Nafasi ndogo
  • Vyombo havitoshi
  • Kukosa shughuli
  • Mwanga mkali
  • Banda chafu (Manyoya)
  • Ukoo
  • Kuweka idadi ya kuku inayolingana na sehem ulionayo.
  • Usizidishe mwanga.
  • Banda liwe safi.
  • Weka vyombo vya kutosha.
  • Wape lishe bora.
  • Wape kuku shughuli kwa kuwawekea bembea na sehem ya uwazi kwa ajili ya mazoezi.
  • Kata midomo ya juu.
  • Epuka ukoo wenye tabia hizo                                                                                               
Previous Post Next Post