Sasa


Uzuiaji magonwa ya kuku


Ilikuweza kudhibiti magonjwa ya kuku uangalifu mkubwa huhitajika katika kuchagua dawa gan itumike,namna gan itumike,wapi utumike kiasi gan utumike na wakati gani
Mambo muhimu
ü  Zuia watu wasiohusika kuku na ndege kuingia au kukaribia mabanda yako
ü  Hakikisha banda liko katika mazingira safi yasiyofurika au kutuamisha maji
ü  Ondoa mbolea mara kwa mara ikiwa ndani ya mifuko na tupa mbali na eneo la mabanda
ü  Wafanyakazi wote wabadilishe nguo na wawe wasafi,wasafishe mikono na miguu yao i.e dawa aina ya virutec
ü  Dawa ya virutec iwekwe mlangon na kubadirishwa kila wiki
ü  Mabanda yapumzishwe wiki mbili kabla ya kuweka kuku wapya
ü  Kabla ya kuweka kuku wapya.safisha mabanda kwa kutumia dawa aina ya virutec
.......................................................................



Previous Post Next Post