Ugonjwa ni nini? Ugonjwa ni mabadiliko kutoka katika afya ya
kawaida ya mnyama/kuku.
Hali hii hutokea pale
vimelea au vijidudu vinapoingia mwili wa mnyama, kwa kula vyakula
vyenye sumu, au inapotokea kuna uhaba wa
lishe au madini mwilini.
Tofauti za muonekano kati ya kuku mwenye afya na
kuku mgonjwa
Kuku m
Macho na sura angavu
Hupenda kula na kunywa
maji
Pua zilizo safi, upanga
na undu mwekundu, manyoyalaini na yaliyopangika vizuri
Hupumua kwa utulivu
Sehemu ya kutolea haja
huwa kavu
Kinyesi kikavu, cheupe na
kisicho na rangi
Hutaga mayai kawaida
|
Huonekana mchovu na
dhaifu
Hula na kunywa kidogo au
zaidi ya kawaida
Hutoa kamasi puani, ute
na matongotongo; manyoya
yaliyovurugika
Hupumua kwa shida na kwa
sauti
Sehemu ya kutolea haja
inakuwa na unyevunyevu na
kinyesi kuganda
Huharisha, kinyesi huwa
na damu au minyoo
Hutaga mayai machache au
husimama kutaga kabisa
Huwa na tabia ya
kujitenga na wenzake katika kundi
|
Tags:
MAGONJWA