SIFA ZA JOGOO NA TETEA BORA


ufugaji kuku wa kienyeji
1. SIFA ZA JOGOO BORA
  • Awe na umbo kubwa
  • Awe na ukiko nzuri usioangukia upande mmoja
  • Awe mchangamfu
  • Apende kuwa na himaya yake. Sifa hii utaigundua pindi ukimjazia wapinzani, atakuwa anapigana badala ya kufuata matetea.



2. SIFA ZA TETEA BORA                                                                                                          
  • Awe na umbo kubwa
  • Awe na uwezo wa kuatamia
  • Awe na uwezo wa kulea vizuri (high mothering ability)
  • Aweze kutaga mayai ya kutosha.
...........................................................................................................................................................
Previous Post Next Post