Chakula cha
nguruwe ni muhimu kiandaliwe kulingana ma
Matumbo ya
nguruwe hayana tofauti sana na matumbo
ya binadamu wana
tumbo moja ambao hivyo nguruwe wanakula chakula cha nafaka
mahindi
,ngano na
mihogo,pia vyakula vya mizizi
· nyama,
· maboga
· ,samaki,
· mashudu
na pumba
Na zaidi yahapo maji ni lazima nguruwe
wapatiwe
Mazao hayo yotepamoja na
chumvi,unga wa mifupa,huleta mchanganyiko mzuri kufuatana na mahitaji ya
mfugaji wa
nguruwe na
nguruwe mwenyewe kufuatana na
umri&madhumuni,hivyo
basi
mchanganyiko huo
ni lazima huwe na mambo muhimu
yafuatayo
protini,nishati,mafuta,vitamin,madini,maji ni kitu cha lazima.
PROTINI
Protini ni
sehemu ya chakula ambayo ni muhimu sana
katika kujenga
mwili au nyama ya kila nguruwe na kila
mnyama,protini
ni sehemu kama mkanda uliotengenezwa
kwa kuunganisha
sehemu ndogo sana ziitwazo amino
acids
vyakula venye asili ya protini ni
Samaki,mashudu,ufuta,,damu
ya wanyama iliyo kaushwa.
NISHATI/KABIHAIDRETI (wanga,sukari na nyuzi
nyuzi(fibre)
Umuhimu wa
kabohaidreti katika mwili ni
•Huleta nguvu
mwilini
•Husaidia
kutengeneza maziwa,
Vyakula
viletavyo nguvu mwilini kwa wingi ni
· Mahindi
· mtama,
· Mihogo
· na
pumba
MAFUTA
Matumizi ya
mafuta katika mwili wa nguruwe
• Mafuta huleta
nishati ya mwili kwa wingi sana.
• Mafuta
husaidia joto kupotea katika mwili.
• Mafuta
huyeyusha vitamin A,D&E
VITAMINI NA MADINI
Madini
yanahitajika kwa wingi kama calcium na
phosphorus
chakula cha kulisha nguruwe wa
kunenepesha
Chumvi ikiwa
nyingi sana katika chakula humfanya
nguruwe anywe
maji mengi sana na hatimaye kuharisha
sana matokeo
yake ni hukua polepole na wanyama hao
hula chakula
kingi sana za kuongeza kilo moja ya nyama.
MAJI
Maji ni muhimu
sana katika mwili wa nguruwe,
huyeyusha
chakula tumboni,kusafirisha damu na mkojo,
pia hurekebisha
joto katika mwili wa nguruwe.
Kama maji
yatakosekana,
•Mnyama hudumaa
sana.
•Utoaji wa
maziwa ni mdogo sana
• Uzito wa
mnyama hupungua na uzito huo ukipungua
kwa asilimia 10
mnyama huugua na ikiwa chini ya
asilimia 25
mnyama anaweza kufa.
MAHITAJI YA MAJI KATIKA UFUGAJI WA NGURUWE
Eneo la ufugaji
nguruwe huitaji kuwa na chanzo cha maji
safi kwjili ya
kunywa na usafi wa mabanda.
Nguruwe
aliyekomaa huitaji walau lita 6 za maji kila siku,
na nguruwe
anayenyonyesha lita 12
Mahitaji ya maji
ya kunywa kwa kila nguruwe ni kam
ifuatavyo
• Nguruwe
anayenyonyesha lita 20 kwa siku
• Nguruwe
aliyeachishwa kunyonyesha lita 5 kwa siku,
Nguruwe
wanaokuzwa na kunenepesha kilo 20 - 90 lita 5
kila siku.
• Watoto wa
nguruwe lita 1 kila mmoja.
....................................................................................................................................
....................................................................................................................................
Tags:
NGURUWE
