MREJESHO WA UTAFITI NA KUJUMLISHA KNOWLEDGE NILIYONAYO
👆Nimepokea report nyingi sana za kuku kushusha utagaji kwa kiwango kikubwa msimu huu (wanaotumia vyakula vya viwandani ,pia wanaojitengenezea ) nafikiri ni baridi imesabanisha
🙏Je huwa unapambanaje na hali hii kuepuka hasara msimu huu,
👆Kwanza nishukuru kwa wote mliotoa michango yenu mbalimbali kuhusu swali langu hapo juu.
🙏Kwanza kabisa nini hutokea, Kipindi cha baridi, mwili wa mnyama mwenye damu moto, huhitaji Joto kusawaza kiwango cha joto la mwili
👈Hivyo hivyo kwa kuku,, huhitaji kiwango cha joto laziada kipindi hiki kukidhi joto la mwili (40°c)
👆👆 IKUMBUKWE
👉Kuku anaetaga anahitaji Enegy/ wanga kwaajili ya vitu viwili
🐣Production/Uzalishaji
🐣Maintanance/Kulinda mwili
👉Hivyo basi chakula anacho kula kuku, kinagawanyika sehemu hizo 2,
👆Wakati wa baridi kuku anahitaji kiwango kikubwa cha chakula kujilinda au kuzalisha joto la mwili, na kinachobaki ndicho hutumika kutengeneza yai
🐣Ikumbukwe kiwango cha chakula ulichokuwa unaliza wakati wa joto ndicho utakacho lisha wakati wa baridi, hivo lazima mayai yatapungua kutengenezwa kwa kua chakula kingine kinafanya kazi kubwa ya kulinda mwili
👉Utagaji hupungua sana msimu wa baridi kama hautakua unajua mbinu za kupunguza hali hii.
👉👈 KITAALAMU
👆Kuku wanapofika kuanza kutaga na kufikia asilimia 5% unaanza kuongeza chakula kwa kiwango cha uzalishaji( somo gumu kidogo litafata siku za mbele)
👉Sasa basi kupunguza adha hii unatakiwa kitaalamu , uongeze kiwango cha chakula kwenye gram ulizo kuwa unalisha kwa Siku( inashauriwa kuongeza gram 3-5) kwa wiki, hii itasaidia kuongeza kiwango cha Energy kwenda kuzalisha yai.
👉Pindi joto litakapo rejea unashauriwa kupunguza kiwango cha chakula Gram 1 kila siku katika zile za ziada ulizoongeza mpaka kufikia kiwango ulicho kuwa unalisha awali. Hii itasaidia kwa sehemu kupunguza adha ya kushuka kwa mayai au kusimama kabisa kutaga
👉Hili swala la uongezaji wa chakula utendaji kazi wake hutafautiana kulingana na umri wa kuku, na Inashauriwa chakula cha ziada kiongezwe asubuhi.
🙏NOTE
MBINU NYINGINE ZINAZO PENDEKEZWA, au Zilizo shauriwa na wafugaji wengine. (sijafanyia utafiti).
👉Waongezee kiwango cha mahindi mazima au Paraza yenye punje kubwa (mahindi huongeza kiwango cha Energy)
👉Mwanga masaa 16 yaani masaa 12 ya jua na uwashe taa sa 12 jioni na kuzima saa 4 usiku.
👉Weka cartens/ maturubai ya kuninginiza, kuzuia upepo wa baridi kuingia sana bandani (usizibe sana hewa iweze kuingia na kutoka )USIKU
👉Wengine wanasema wamekua wakiweka chanzo cha joto nyakati za usiku angalau kupunguza ubaridi bandani
👉Randa ziwe kavu, ili miguu na mwili vilale sehemu ambayo sio ya baridi sana au iliyo lowana
👉Wawekee egg booster formula Mara kwa Mara bila kusahau vitamins
👉👈👉👈👉👈👉👈
👆Nadhani kwa sehemu nimejitahidi kusaidia kwa ufahamu wangu , pia kwa kukusanya maoni ya wafugaji wa kuku wa mayai
KITU KIMOJA NAPENDA MUELEWE
👉Imenitokea kiu/ nia ya dhati ya kusaidia ufugaji na wafugaji wa kuku kwa taaluma niloyonayo bila kuibana WANASEMA PENGINE WITO nikiomba ushirikiano nipeni, nasaidia namimi pia ufike wakati mnisaidie kunitia MOYO
👆Nimepokea report nyingi sana za kuku kushusha utagaji kwa kiwango kikubwa msimu huu (wanaotumia vyakula vya viwandani ,pia wanaojitengenezea ) nafikiri ni baridi imesabanisha
🙏Je huwa unapambanaje na hali hii kuepuka hasara msimu huu,
👆Kwanza nishukuru kwa wote mliotoa michango yenu mbalimbali kuhusu swali langu hapo juu.
🙏Kwanza kabisa nini hutokea, Kipindi cha baridi, mwili wa mnyama mwenye damu moto, huhitaji Joto kusawaza kiwango cha joto la mwili
👈Hivyo hivyo kwa kuku,, huhitaji kiwango cha joto laziada kipindi hiki kukidhi joto la mwili (40°c)
👆👆 IKUMBUKWE
👉Kuku anaetaga anahitaji Enegy/ wanga kwaajili ya vitu viwili
🐣Production/Uzalishaji
🐣Maintanance/Kulinda mwili
👉Hivyo basi chakula anacho kula kuku, kinagawanyika sehemu hizo 2,
👆Wakati wa baridi kuku anahitaji kiwango kikubwa cha chakula kujilinda au kuzalisha joto la mwili, na kinachobaki ndicho hutumika kutengeneza yai
🐣Ikumbukwe kiwango cha chakula ulichokuwa unaliza wakati wa joto ndicho utakacho lisha wakati wa baridi, hivo lazima mayai yatapungua kutengenezwa kwa kua chakula kingine kinafanya kazi kubwa ya kulinda mwili
👉Utagaji hupungua sana msimu wa baridi kama hautakua unajua mbinu za kupunguza hali hii.
👉👈 KITAALAMU
👆Kuku wanapofika kuanza kutaga na kufikia asilimia 5% unaanza kuongeza chakula kwa kiwango cha uzalishaji( somo gumu kidogo litafata siku za mbele)
👉Sasa basi kupunguza adha hii unatakiwa kitaalamu , uongeze kiwango cha chakula kwenye gram ulizo kuwa unalisha kwa Siku( inashauriwa kuongeza gram 3-5) kwa wiki, hii itasaidia kuongeza kiwango cha Energy kwenda kuzalisha yai.
👉Pindi joto litakapo rejea unashauriwa kupunguza kiwango cha chakula Gram 1 kila siku katika zile za ziada ulizoongeza mpaka kufikia kiwango ulicho kuwa unalisha awali. Hii itasaidia kwa sehemu kupunguza adha ya kushuka kwa mayai au kusimama kabisa kutaga
👉Hili swala la uongezaji wa chakula utendaji kazi wake hutafautiana kulingana na umri wa kuku, na Inashauriwa chakula cha ziada kiongezwe asubuhi.
🙏NOTE
MBINU NYINGINE ZINAZO PENDEKEZWA, au Zilizo shauriwa na wafugaji wengine. (sijafanyia utafiti).
👉Waongezee kiwango cha mahindi mazima au Paraza yenye punje kubwa (mahindi huongeza kiwango cha Energy)
👉Mwanga masaa 16 yaani masaa 12 ya jua na uwashe taa sa 12 jioni na kuzima saa 4 usiku.
👉Weka cartens/ maturubai ya kuninginiza, kuzuia upepo wa baridi kuingia sana bandani (usizibe sana hewa iweze kuingia na kutoka )USIKU
👉Wengine wanasema wamekua wakiweka chanzo cha joto nyakati za usiku angalau kupunguza ubaridi bandani
👉Randa ziwe kavu, ili miguu na mwili vilale sehemu ambayo sio ya baridi sana au iliyo lowana
👉Wawekee egg booster formula Mara kwa Mara bila kusahau vitamins
👉👈👉👈👉👈👉👈
👆Nadhani kwa sehemu nimejitahidi kusaidia kwa ufahamu wangu , pia kwa kukusanya maoni ya wafugaji wa kuku wa mayai
KITU KIMOJA NAPENDA MUELEWE
👉Imenitokea kiu/ nia ya dhati ya kusaidia ufugaji na wafugaji wa kuku kwa taaluma niloyonayo bila kuibana WANASEMA PENGINE WITO nikiomba ushirikiano nipeni, nasaidia namimi pia ufike wakati mnisaidie kunitia MOYO
Tags:
KUKU WA MAYAI

