Matatizo ya uzazi &magonjwa ya Nguruwe I Mshindo media

Magonjwa ya nguruweANAPHRODISIAS
Pale nguruwe anaposhindwa kuingia kwenye joto.hapa nguruwe anakua haingii kwenye joto hii inaweza kusababishwa Na uzito mdogo kutokana na kuwalisha chakula kisicho tosha au kisicho na virutubisho, uzito ulio zidi, upungufu wa madini, minyoo kwenye utumbo, magonjwa sugu.

Dalili ya ugonjwa huu ni homa, kuhara,kukojoa damu na kupolomosha mimba kwa hatua ya mwisho na unaweza kuwatibu kwa streptomycin kabla ya tendo. Na unaweza kutumia dawa za antibiotic.
.

Ugonjwa huu unatokea kwa dume na jike na inakua na dalili kama vile kunyonyoka manyoya,homa,kupooza miguu,kilema,na kutoa mimba mapema, na kwamjike ambao tayari wanazaa huzaa watoto zaifu,uke hua na mwekundu na pia kondo hutoka nje na kwa dume  hua na uvimbe kwenye mapumu ya nguruwe.
Na ugonjwa huu hauna tiba hivyo chinja nguruwe wenye ugonjwa huu.

Ugonjwa huu usababisha uterus kutoka nje,napia ugonjwa huu hauna tiba hivyo mnyama hutakiwa kuchinjwa.
.
Bacterial husababisha kuvimba kwa kiwele na kupelekea kubadili uzalishaji wa maziwa,
Dalili za ugonjwa huu ni kiwele kuvimba kua chamoto na maumivu napia uzalishaji wa maziwa upungua.
Unaweza kutibu kwa kukanda chuchu ambazo na usiruhusu watoto kunyonya,toa maziwa yote kwenye kiwele baada ya hayo tumia antibiotics.penicillin-streptomycin.
.

Dalili ya ugonjwa huu kwa watoto wanakua wana koroma,kukohoa na kupumilia mdomo na unaweza kutibu kwa kutumia antibiotics na usafi pia ni muhimu

Huu ni ugonjwa unao sababisha mabaka,vibarango kwenye ngozi,pia mnyama upungua kilo na anaweza kufa.zuia kwa kuzuia  ugomvi wa nguruwe kwa kuwakata meno,kuwapa chakula cha kutosha,usafi na tumia antibiotics
huu ni ugonjwa wa mdomo na miguu na inadhulu wanyama wenye kwato
Dalili zake nguruwe anaweza kua kilema,homa na vidonda mdomoni na miguuni
unaweza kutibu kwa kutumia antibiotics.
Vaccination Disinfection No therapy (treatment)
https://www.animalscience.care/

ANTHRAX/kimeta
https://www.animalscience.care/
 Kimeta kinasababishwa na kuwalisha nyama nguruwe na dalili zake ni kupumua kwa shida,kuvimba shingon,homa na kutoa kinyesi chenye damu
 na mnyama alie kufa na kimeta hutoa damu maeneo ya wazi mwilini.
Na unaweza kutibu Kwa kutumia antibitics.
................................................................................................................
Previous Post Next Post