ANAPHRODISIAS
Pale nguruwe anaposhindwa
kuingia kwenye joto.hapa nguruwe anakua haingii kwenye joto hii inaweza
kusababishwa Na uzito mdogo kutokana na kuwalisha chakula kisicho tosha au
kisicho na virutubisho, uzito ulio zidi, upungufu wa madini, minyoo kwenye
utumbo, magonjwa sugu.
Dalili ya ugonjwa huu ni
homa, kuhara,kukojoa damu na kupolomosha mimba kwa hatua ya mwisho na unaweza
kuwatibu kwa streptomycin kabla ya tendo. Na unaweza kutumia dawa za
antibiotic.
.
Ugonjwa huu unatokea kwa
dume na jike na inakua na dalili kama vile kunyonyoka manyoya,homa,kupooza
miguu,kilema,na kutoa mimba mapema, na kwamjike ambao tayari wanazaa huzaa
watoto zaifu,uke hua na mwekundu na pia kondo hutoka nje na kwa dume hua na uvimbe kwenye mapumu ya nguruwe.
Na ugonjwa huu hauna tiba
hivyo chinja nguruwe wenye ugonjwa huu.
Ugonjwa huu usababisha
uterus kutoka nje,napia ugonjwa huu hauna tiba hivyo mnyama hutakiwa kuchinjwa.
.
Bacterial husababisha
kuvimba kwa kiwele na kupelekea kubadili uzalishaji wa maziwa,
Dalili za ugonjwa huu ni
kiwele kuvimba kua chamoto na maumivu napia uzalishaji wa maziwa upungua.
Unaweza kutibu kwa kukanda
chuchu ambazo na usiruhusu watoto kunyonya,toa maziwa yote kwenye kiwele baada
ya hayo tumia antibiotics.penicillin-streptomycin.
.
Dalili ya ugonjwa huu kwa
watoto wanakua wana koroma,kukohoa na kupumilia mdomo na unaweza kutibu kwa
kutumia antibiotics na usafi pia ni muhimu
Huu ni ugonjwa unao
sababisha mabaka,vibarango kwenye ngozi,pia mnyama upungua kilo na anaweza
kufa.zuia kwa kuzuia ugomvi wa nguruwe
kwa kuwakata meno,kuwapa chakula cha kutosha,usafi na tumia antibiotics
huu ni ugonjwa wa mdomo na
miguu na inadhulu wanyama wenye kwato
Dalili zake nguruwe
anaweza kua kilema,homa na vidonda mdomoni na miguuni
unaweza kutibu kwa kutumia
antibiotics.
Vaccination Disinfection
No therapy (treatment)
ANTHRAX/kimeta
Kimeta
kinasababishwa na kuwalisha nyama nguruwe na dalili zake ni kupumua kwa shida,kuvimba
shingon,homa na kutoa kinyesi chenye damu
na mnyama alie
kufa na kimeta hutoa damu maeneo ya wazi mwilini.
Na unaweza kutibu Kwa kutumia antibitics.
................................................................................................................
Tags:
NGURUWE

