Jogoo na Tetea bora kwa kufuga

https://www.animalscience.care/
SIFA ZA  KUKU JOGOO NA TETEA BORA KWA KUFUGA


1. SIFA ZA JOGOO BORA
-Awe na umbo kubwa
-Awe na ukiko nzuri usioangukia upande mmoja
-Awe mchangamfu
-Apende kuwa na himaya yake. Sifa hii utaigundua pindi ukimjazia wapinzani, atakuwa anapigana badala ya kufuata matetea.

2. SIFA ZA TETEA BORA



-Awe na umbo kubwa
-Awe na uwezo wa kuatamia
-Awe na uwezo wa kulea vizuri (high mothering ability)
-Aweze kutaga mayai ya kutosha.


  


Previous Post Next Post