Baadhi Magonjwa yanayoweza kuambukizwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu (Zoonotic diseases)
1. Kimeta
2. Kifua kikuu
3. Typhoid
4. Colibacillosis
5. Kichaa cha mbwa
6. Leptospirosis
7. Brucellosis
1.Ndigana kali
2.Ndigana baridi
3.Chambavu
4.Kimeta
5.Ndorobo
6.Homa ya mapafu.
7.Midomo na miguu
8.Ugonjwa wa kiwele
9.Maji moyo
10.Minyoo
11.Ugonjwa wa ngozi( Lumpy Skin)
12.Ugonjwa wa kutupa mimba(brucellosis)
Baadhi ya magonjwa ya mbuzi na Kondoo
1. Moyo kujaa maji
2. Homa ya mapafu
3. Sotoka ya Mbuzi na kondoo
4. Minyoo
Baadhi ya Magonjwa ya jamii ya ndege
1. Mdondo (Newcastle disease)
2.Koksidiosisi
3. Koryza (mafua)
4. Ndui
5. Minyoo
6. Typhoid
7. Colibacillosis
Magonjwa sumbufu na hatari kwa mbwa
1. Kichaa cha Mbwa
2. Leptospirosis
3. Kuhara damu (canine parvovirus infection)
4. Canine Distemper
5. Canine hepatitis
Magonjwa yanayozuilika kwa kutoa chanjo ni:-
Kimeta na chambavu kwa ng`ombe, mbuzi na kondoo
1. Ndigana kali - ng`ombe
2. Homa ya mapafu kwa Ng`ombe na Mbuzi
3. Lumpy skin- Ng`ombe
4. PPR – mbuzi
5. Kutupa mimba (Brucellosis)-Ng`ombe
6. FMD- Ng`ombe
7. Kichaa cha mbwa – mbwa na paka
8. Distemper, Hepatitis, Leptospirosis na Parvovirus(DHLP)-Mbwa
9. Newcastle disease – jamii ya ndege
10. Gumboro
11. Ndui
12. Typhoid
13. Mareck`s disease
Namna ya kupata na kutumia chanjo
Chanjo zinapatikana kwenye maduka/vituo vya kuuzia pembejeo za Mifugo. Pia unaweza kuwasiliana na Wataalam wa mMifugo kwa elimu na msaada zaidi.
...................................................................................................................
...................................................................................................................
Tags:
MAGONJWA
