Ukosefu wa vitamini‘A’ Hujitokeza baada ya kuku kukosa vyakula vyenye vitamin ‘A’ kwa muda mrefu.
– Kuku wadogo huathirika zaidi kwa ukosefu wa vitamini ‘A’.
Dalili za ukosefu wa vitamini ‘A’
•Macho huvimba na kutoa uchafu mzito kama sabuni ya mche iliyolowana maji.
• Hudhoofika na hatimaye hufa.
Tiba na Kinga.
• Kinga ugonjwa huu kwa kuwapa majani mabichi au mchicha wakati wa kiangazi.
• Wape kuku vitamini za kuku za dukani wakati majani hayapatikani.
•Kwa
kuku alie athirika na ugonjwa huu; msafishe na maji ya vuguvugu yenye
chumvi kiasi, hakikisha uchafu wote unatoka kisha mpe vitamn ya dukani
unaweza tumia amin total au vitamn yeyote ile.
Fanya zoezi hilo kwa siku 5
Kama una swali comment hapa chini,,,,,
ENDELEA KUTEMBELEA WEBSITE HII KILA SIKU
Tags:
DAWA ZA MIFUGO



