UGONJWA WA KICHA CHA MBWA

Rabies disease in dog
UJUE UGONJWA WA KICHA MBWA
Ugonjwa huu huwaathiri wanyama wa kufugwa hata wale wa mwituni, na binadamu hupata ugonjwa endapo atagusana na mate ya mnyama mwenye ugonjwa kupitia kung’atwa meno au mkwaruzo kutoka kwa mnyama mwenye ugonjwa.
Ugonjwa huu huwaathiri wanyama wa kufugwa hata wale wa mwituni, na binadamu hupata ugonjwa endapo atagusana na mate ya mnyama mwenye ugonjwa kupitia kung’atwa meno au mkwaruzo kutoka kwa mnyama mwenye ugonjwa.

Dalili za mwanzo za ugonjwa ni homa, kuhisi kuchomachoma katika eneo lililong’atwa au kukwaruzwa.

Kusafisha eneo lililong’atwa au kukwaruzwa ndani ya muda mfupi pamoja na kupata chanjo ya kukinga ugonjwa wa kichaa cha mbwa ni njia thabiti ya kuzuia kupata ugonjwa huu.
Wahi chanjo mapema kabla ya dalili za awali kuanza 

KUMBUKA:Ugonjwa huu dalili zikishajitokeza hautibiki



Previous Post Next Post